Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kibada, Dar Es Salaam (580 sqm)

Sh. 345,000,000

Huduma na Sifa

Hati
Maji
Paving Blocks
Karibu na Barabara ya Lami
Bustani
CCTV

Maelezo

NYUMBA MPYA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI KIBADA

Fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba ya kisasa katika eneo tulivu na lenye maendeleo!

✨ Sifa za Nyumba:

* Vyumba 4 vya kulala (3 Master)
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Eneo la ukubwa wa SQM 580
* Hati ya Wizara (Title Deed)

🌟 Vifaa na Huduma:

* Kisima cha maji
* Electric Fence
* CCTV Camera
* Paving nzuri
* Garden ya kupumzikia
* Mazingira salama na mtaa mzuri

📍 Mahali:

* Mita 400 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 9 kutoka Ferry
* Kilomita 8 kutoka Daraja la Nyerere

💰 Bei: TZS Milioni 345
🤝 Mazungumzo kidogo yapo.

📞 0769554221
📍Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio

📍Viwanjakigamboni
📍Nyumbakigamboni
📍Dalalikigambonimbavu

Matangazo mengine Kibada, Dar Es Salaam