Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Geza, Dar Es Salaam (540 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
540 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ BOMA LINAUZWA β KIGAMBONI GEZA (USHUANI), DAR ES SALAAM π‘
πΉ Boma lina vyumba 4 vya kulala.
πΉ Ukubwa wa kiwanja ni SQM 540.
πΉ Lipo kwenye mtaa mzuri uliopangika na uliojengeka.
πΉ Umbali wa mita 500 tu kutoka barabara ya lami.
πΉ Eneo ni tulivu na linafaa kwa makazi au uwekezaji.
π° Bei: TZS Milioni 78 tu (mazungumzo yapo).
π Piga simu sasa kupanga muda wa kutembelea site na kujionea mwenyewe.
β
Service Charge: TZS 30,000
#Kigamboni #Geza #Ushuani #DalaliKigamboni #DalaliDarEsSalaam DalaliNyumbaViwanja RealEstateApartment CreatorSearchInsights ForSale















