Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni, Kibada, Dar Es Salaam (500 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA INAUZWA β KIGAMBONI, KIBADA π₯π‘
π NYUMBA MPYA, YA KISASA NA INAYOFAA KWA MAKAZI AU UWEKEZAJI!
Nyumba hii ipo Kigamboni β Kibada, eneo zuri na tulivu, ikiwa imejengwa kwa umakini mkubwa kwenye mapambo na finishing.
β¨ SIFA ZA NYUMBA:
β
Vyumba 4
β
Vyumba 3 Master
β
Sebule kubwa
β
Jiko lenye full makabati
β
Full AC β vyumba vyote vya Master vina AC
β
Electric Fence
β
CCTV Camera
β
Garden nzuri ya kisasa
β
Kisima cha maji
β
Nyumba mpya kabisa
β
Decoration na finishing nzuri sana
π Eneo: SQM 500
π Hati ya Wizara
π UMBALI:
π Mita chache kutoka Baba Alami
π Kilomita 5 kutoka Ferry
π Kilomita 3 kutoka Kigamboni Darajani
π° BEI: TZS MILIONI 340
π€ Mazungumzo kidogo yapo.
π₯ FURSA YA UWEKEZAJI:
Nyumba hii unaweza kuiishi mwenyewe au kuiweka kwenye upangishaji. Kwa makadirio, inaweza kukupatia hadi takribani TZS milioni 1 kwa mwezi, kutegemea aina ya upangishaji na makubaliano.
π Nyumba mpya + location nzuri + hati ya Wizara = fursa nzuri kwa makazi na uwekezaji.
π 0769 554 221
πService charge 30,000
#trendingpost #istagram #realestateinvestment #realestateagent #trendingaudio















