Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kibada Kisarawe II, Dar Es Salaam (600 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
4
Ukubwa
600 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Maelezo
🏡 GHOROFA YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI, KIBADA KISARAWE II
Fursa ya kipekee ya kumiliki ghorofa ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu katika eneo tulivu na linaloendelea kwa kasi.
📍 Mahali: Kigamboni – Kibada Kisarawe II
Sifa za Nyumba:
✅ Vyumba 4, vyote Master
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko la kisasa
✅ Swimming Pool
✅ Servant Quarter
✅ Eneo la kiwanja: SQM 600
✅ Kiwanja kimepimwa na kina Hati ya Wizara
📍 Umbali:
• Meta 300 kutoka barabara kuu
• Kilomita 10 kutoka Feri
• Kilomita 10 kutoka Daraja la Nyerere
💰 Bei: TZS Milioni 800 (Mazungumzo kidogo yapo)
📞
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















