Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏢 GHOROFA INAUZWA – KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM 🏢 O719969102
✨ Fursa adimu ya kupata ghorofa la kisasa katika eneo zuri na linalokua kwa kasi!
📍 Location: Kigamboni Kisota, Dar es Salaam
🛣️ Linagusa barabara ya lami
Sifa za nyumba:
✅ Vyumba 4 vya kulala
✅ Master bedroom
✅ Sebule kubwa
✅ Dining
✅ Jiko la kisasa
✅ Garden nzuri
✅ Servant Quarter
✅ AC tayari zimefungwa
✅ Gypsum ceiling
✅ Aluminium windows
✅ Eneo la ukubwa wa SQM 1,200
✅ Limepimwa na lina hati salama
💰 Bei: TZS 400,000,000 (Mazungumzo yapo kidogo)
📞 Call/WhatsApp: O719969102















