Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 295,000,000

Maelezo

🏑 NYUMBA INAUZWA – KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM 🏑 O719969102

Unatafuta nyumba ya kifahari yenye mazingira mazuri na inayofaa kwa makazi au uwekezaji? Hii ndiyo fursa yako!

✨ Sifa za nyumba:

* Vyumba 4 vya kulala
* Vyumba 2 ni Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Jiko la nje
* Banda la kupumzikia
* Garden ya matunda
* Garden ya maua
* Maegesho ya kutosha

πŸ“ Mahali:

* Kigamboni Kisota, Ushuani – Dar es Salaam
* Mita 200 tu kutoka barabara ya lami
* Ipo kwenye mtaa wa kisasa wenye mazingira mazuri na utulivu
* Kilomita 4 tu hadi Feri
* Kilomita 3 tu hadi Daraja la Nyerere

βœ… Nyumba hii inafaa kwa kuishi, biashara, ofisi au uwekezaji wa muda mrefu.

πŸ’° Bei: TSh 295,000,000 tu.

πŸ”₯ Bei imeshuka kutoka TSh 360,000,000 – usikose nafasi hii ya kipekee!

πŸ“ž Service Charge: TSh 30,000

πŸ“² PIGA SIMU TWENDE SAITI

O719969102

.

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam