Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Kisota Zaranga, Dar Es Salaam (450 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
450 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI KISOTA ZARANGA, DAR ES SALAAM 🔥
💰 Bei: TZS Milioni 165 Tu (Mazungumzo yapo kidogo)
✨ Sifa za nyumba:
🛏️ Vyumba 4 vya kulala
🛋️ Sebule kubwa
🍽️ Dining
🍳 Jiko la kisasa
🚿 Finishing za kisasa (Tiles na Gypsum)
🌳 Garden kubwa
🚗 Parking ya kutosha
🧱 Fence imara
⚡ Electric Fence kwa usalama wa hali ya juu
📐 Ukubwa wa kiwanja: Square Meter 450
📄 Kiwanja kimepimwa na kipo Safe & Approved.
📍 Location: Kigamboni – Kisota Zaranga
✅ Meta 200 tu kutoka barabara ya lami.
✅ Takribani Kilomita 5 hadi Ferry.
✅ Takribani Kilomita 4.5 hadi Daraja la Nyerere.
✅ Eneo linafaa kwa makazi na biashara.
🔥 Usikose nafasi ya kumiliki nyumba bora kwenye eneo lenye maendeleo makubwa ya Kigamboni.
🚗 Service Charge: TZS 30,000 (Kwa ajili ya kuoneshwa nyumba)
📞 Call/WhatsApp: +255 746 407 197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment nyumbainauzwa kigamboni dar es salaam viral















