Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kigamboni Malaika Beach, Dar Es Salaam (1400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Bafu
4
Ukubwa
1400 SQM
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
ποΈ CLASSIC GOROFA BEACH HOUSE INAUZWA β KIGAMBONI MALAIKA BEACH, DAR ES SALAAM ποΈ
Nyumba ya kifahari sana inauzwa Kigamboni Malaika Beach. Hii ni nyumba ya kisasa yenye finishing na standards za hali ya juu sana, imekamilika kwa kila idara na ipo kwenye mazingira tulivu, salama na ya kishua.
π Nyumba ni ya pili kutoka baharini
π Mita 200 tu mpaka Barabara ya Lami
π Dakika 4 tu kwa kutembea mpaka barabara ya lami πΆββοΈ
π Kilometa 4 tu mpaka Ferry
π Kilometa 3.5 tu mpaka Darajani
π Eneo lina ukubwa wa SQM 1,400
π Limepimwa na lina Hati Safi ya Wizara
β¨ Sifa za nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala vyote Master
β
Sebule kubwa ya kisasa
β
Dining kubwa
β
Jiko la kisasa
β
Garden nzuri sana
β
Parking kubwa
β
Paving block za kisasa
β
Electric Fence
β
Gating Motor
β
AC tayari
β
Maji na umeme wa uhakika
β
Finishing ya kiwango cha juu sana
β
Nyumba classic yenye mvuto mkubwa wa kifahari
β
Imejengwa kwenye standard bora sana kwa maisha ya kisasa
π‘ Nyumba hii ni nzuri sana kwa:
βοΈ Kuishi familia ya kisasa
βοΈ Investment ya Airbnb au Beach Rental
βοΈ Holiday Home
βοΈ Watu wanaotamani kuishi karibu na mjini lakini mazingira ya utulivu na hadhi ya juu
π° Bei: Milioni 700 tu
π Mazungumzo yapo kwa mnunuzi serious
π Service Charge: TZS 30,000 kwa site visit
π Call/WhatsApp: +255746407197
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidar es salaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment dalalidaressalaam malaikabeach kigamboni beachhouse luxuryhome airbnbinvestment be















