Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kwa Ulomi, Mbezi Juu, Dar Es Salaam (500 sqm)
Maelezo
NYUMBA MBILI (2) PAMOJA,TZS.185 MILIONI,MBEZI JUU/GOBA ROAD
Eneo ni KWA-ULOMI.
Si mbali na MASSANA HOSPITALI.
Ukihitaji moja Ruksa, TZS.100 Milioni tu.
Moja ina vyumba 4 (Masta 1)
Na ya pili ina Vyumba 3 (Masta 1)
Kila moja ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ndani ya Fensi yake na Parking ipo.
Ukubwa wa Kiwanja kila nyumba ni SQM.500.
WAHI.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tzs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
+255 714 591 548
__________________mmg












