Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kwa Ulomi, Mbezi Juu, Dar Es Salaam (500 sqm)
Mbezi Juu, Dar Es Salaam
20 days ago
Sh. 185,000,000
Maelezo
NYUMBA MBILI (2) PAMOJA,TZS.185 MILIONI,MBEZI JUU/GOBA ROAD
Eneo ni KWA-ULOMI.
Si mbali na MASSANA HOSPITALI.
Ukihitaji moja Ruksa, TZS.100 Milioni tu.
Moja ina vyumba 4 (Masta 1)
Na ya pili ina Vyumba 3 (Masta 1)
Kila moja ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Ndani ya Fensi yake na Parking ipo.
Ukubwa wa Kiwanja kila nyumba ni SQM.500.
WAHI.
_________________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tzs.50,000
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
__________________mmg












