Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Maji Matitu, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
Mbagala maji matitu jiji la dar es salaam wilaya ya temeke kata ya charambe ina uzwa hii nyumba kalli sana bei nzuri sana tsh mil 68 tu
Ipo kalibu sana na bara bara kuu ya lami
Vyumba vipo vnne vya kulala kimoja ni master bedroom ina stting room na dainingi room na jiko pamoja na public toilet ina maji na umeme upo wa luku
Kwa maelekezo zaidi nipigie CM au nicheki WhatsApp πΉπΏ 0759 203175 0652 618 143 πΉπΏ















