Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Maji Matitu, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 120,000,000

Maelezo

🏡 NYUMBA YA KISASA INAUZWA – MBAGALA MAJI MATITU

💰 Bei: TSh Milioni 120

Unatafuta nyumba ya kisasa yenye nafasi kubwa? Hii ndiyo fursa yako!

✅ Ipo Mbagala Maji Matitu katika mazingira mazuri na salama.

Sifa za nyumba:
• Vyumba 4 vya kulala
• Master Bedroom 2
• Sitting Room kubwa
• Dining Room
• Jiko la kisasa
• Kisima cha maji matamu
• Chumba cha ziada (Master) chenye nafasi kubwa
• Eneo kubwa linalofaa kwa familia

🏠 Njoo site ujionee mwenyewe, ukague na ulipie.

📞 Kwa maelezo zaidi piga simu: 0683 665504

Matangazo mengine Mbagala, Dar Es Salaam

Nyumba inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 58,000,000

For Salehouse
Nyumba inauzwa Mbagala, Dar Es Salaam

Sh. 58,000,000

For Salehouse