Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbagala Zakhem, Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA KALI YA KISASA INAUZWA β MBAGALA ZAKHEM, KIBONDEMAJI B π‘
π° Bei: TSh Milioni 120 (Mazungumzo yapo)
Unatafuta nyumba ya kisasa yenye nafasi kubwa na mazingira mazuri? Hii ndiyo fursa yako!
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Vyumba 4 vya kulala
β
Vyumba 2 Master Bedroom
β
Sitting Room kubwa
β
Dining Room
β
Jiko la kisasa
β
Umeme na maji ya uhakika
β
Fensi ya waya kuzunguka eneo lote
β
Eneo kubwa la parking β linaweza kuingiza magari madogo 3
π Mahali: Mbagala Zakhem, Mtaa wa Kibondemaji B
Usikose fursa hii ya kumiliki nyumba nzuri kwa bei nafuu.
π Kwa maelezo zaidi na kuangalia nyumba, piga simu:
0683 665504















