Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mbeweni Malindi, Tanga (700 sqm)


Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β MBWENI MALINDI π‘
π₯ Fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba ya kisasa kwenye eneo la kifahari la Mbweni Malindi!
π Location: Mbweni Malindi β Nyumba ya pili tu kutoka barabara ya lami, kwenye neighborhood tulivu na ya hadhi.
β¨ Sifa za Nyumba:
β
Ipo ndani ya fence
β
Vyumba 4 (2 ni Master Bedroom)
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko la kisasa lenye makabati
β
Store
β
Chumba maalum cha maombi
β
Choo cha wageni
β
Garden nzuri
β
Parking kubwa yenye Car Shed
β
Maji yanapatikana masaa 24
β
Kisima
β
Electronic Fence kwa usalama wa hali ya juu
π Ukubwa wa Kiwanja: SQM 700
π Hati: Hati Miliki ya Wizara ya Ardhi
π° Bei: TSh Milioni 500 (Inajadilika kwa mteja mwenye nia ya kweli.)
π΅ Service Charge: TSh 50,000/=
π Muhitaji piga:
Miliki Kesho Yako Leo!!!
#Mbweni







