Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mikocheni, Dar Es Salaam (858 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 GHOROFA INAUZWA – MIKOCHENI, DAR ES SALAAM
📍 Eneo la Mikocheni
🛣️ Plot inagusa barabara mbili upande wa mbele
🛣Na upande wa nyuma
📐 Ukubwa wa kiwanja: SQM 858
📄 Hati safi ya Wizara
🏠 SIFA ZA NYUMBA
✅ Vyumba 4 vya kulala
✅ Vyumba 3 vya Master
✅ Sebule 2 kubwa
✅ Jiko kubwa
✅ Dining
✅ Public Toilet
💰 Bei: TSh Bilioni 1.1 (Bei ya kuuza)
KWENDA KUONA TSH 30,000
CONTACT
📈 Fursa kubwa ya uwekezaji:💵 Ukimalizia nyumba unaweza kuipangisha hadi USD 2,500 kwa mwezi🏢 Sehemu iliyobaki inafaa kujenga apartments 10+ na kuongeza mapato zaidi📍 Eneo la hadhi kubwa lenye mahitaji makubwa ya upangishaji
⚡ Wahi kuiona na kuichukua kabla haijapata mnunuzi mwingine!
📞 Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga muda wa kwenda kuiona.
#0689138795whatsapp
#0758998074👈















