Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Mikwambe, Dar Es Salaam (300 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
300 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Huduma na Sifa
Maelezo
š” NYUMBA YA KUANZIA MAISHA INAUZWA ā KIGAMBONI, MIKWAMBE š”
Unatafuta nyumba yenye mapato ya uhakika katika eneo lenye biashara? Hii ni fursa nzuri kwako!
⨠Sifa za Nyumba:
ā
Vyumba 4 vya kupangisha (kimoja ni master)
ā
Eneo la takribani SQM 300
ā
Shimo la choo tayari
ā
Tayari kuna wapangaji, hivyo utaanza kupata mapato mara moja
š Mahali:
⢠Mita 500 kutoka barabara kuu
⢠Kilomita 10 kutoka Ferry
⢠Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere
š Nyaraka: Serikali ya Mtaa
ā” Huduma Zinazopatikana:
āļø Umeme
āļø Maji
āļø Eneo lenye shughuli nyingi za biashara
š° Bei: TSh Milioni 33 (Mazungumzo yapo)
šµ Service Charge: TSh 30,000
š Wasiliana Nasi: 0769 554 221
#trendingpage #istagram #realestatemarket #realestateagent #trendingaudio















