Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Msongola, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 45,000,000

Maelezo

NYUMBA MPYA,VYUMBA 4,TSHS.45 MILIONI,MSONGOLA.

Ni nyumba ya kisasa ya KUHAMIA.
Vyumba 4 ( Masta 1)
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Ipo ndani ya Fensi na Parking ina
Paving na ni ya kutosha.

Hapa ni Gari moja tu kufika Mjini,
Mungu akupe nini tena?

WAHI WAHI WAHI.

_____________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

____________mskv

Matangazo yanayofanana Msongola, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Mbondole Msongola, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 29,500,000

  • Karibu na Barabara

  • Karibu na Stendi ya Mabasi

  • Chumba cha Msaidizi