Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Chaβngombe, Dar Es Salaam (800 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA INAUZWA β TABATA CHAβNGOMBE, DAR ES SALAAM π‘
π° Bei: Milioni 170 Tu
π Ukubwa: SQM 800
π Hati Miliki ya Wizara
Nyumba hii ya kisasa ipo ndani ya fensi katika eneo zuri la Tabata Chaβngombe, lenye miundombinu bora na mazingira mazuri ya kuishi.
β
Vyumba 4 vya kulala, viwili Master Bedroom
β
Sebule kubwa na ya kisasa
β
Dining Room
β
Jiko la kisasa
β
Choo cha wageni (Public Toilet)
β
Maji na umeme vipo
β
Kisima cha maji
β
Water Reserve Tank
π Pia kuna vyumba 4 vya nje, kila kimoja kikiwa na Master Bedroom, sebule na jiko, vinavyoweza kukuingizia kipato kizuri cha kodi kila mwezi.
π Unaweza kununua kwa ajili ya makazi binafsi au uwekezaji wa nyumba za kupangisha na kupata mapato ya uhakika.
π Eneo tulivu, salama na linalokua kwa kasi.
π Simu: +255 688 412 890
π΅ Service Charge: 50,000/=
π DALALI WAKISHUA
π₯ Wahi Sasa Offer Kabambe!
β¨ Miliki Kesho Yako Leo!!!















