Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Segerea, Zanati ya Segerea, Dar Es Salaam (500 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
4
Ukubwa
500 SQM
Barabara ya Karibu
10minute
Maelezo
π‘β¨ NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA β TABATA SEGEREA, ZANATI YA SEGEREA β¨π‘
Fursa nzuri sana kwa makazi au uwekezaji imefika maeneo ya Tabata Segerea, Zanati ya Segerea π
Nyumba ipo kwenye location nzuri, tambarare, na panafikika bila shida kabisa.
π Umbali: Takribani dakika 10 kutoka barabara kuu
π£οΈ Unaweza kupitia Segerea kwa Bibi au Sanene
π Ina:
β
Vyumba 4 vya kulala
β
Kimoja ni Master Bedroom
β
Sebule kubwa
β
Dining
β
Jiko
β
Choo cha public
π Ukubwa wa eneo: SQM 500
π° Bei: Milioni 50 tu
π΅ Service charge: Tsh 30,000/=
π‘ Inafaa kwa:
βοΈ Kumalizia na kuishi mwenyewe
βοΈ Kupangisha kama stand-alone house
βοΈ Kuweka apartments kwa ajili ya mapato ya kodi
π₯ Karibu tajiri, fursa ya uwekezaji usiikose!
π +255688412890 Muhitaji karibu tufanye biashara.















