Tafuta

Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tabata Segerea, Zanati ya Segerea, Dar Es Salaam (500 sqm)

video thumbnail
Sh. 50,000,000

Huduma na Sifa

Tiles
Dining
Jiko
Sebule
Feni
Public Toilet

Maelezo

🏑✨ NYUMBA YA KUMALIZIA INAUZWA – TABATA SEGEREA, ZANATI YA SEGEREA ✨🏑

Fursa nzuri sana kwa makazi au uwekezaji imefika maeneo ya Tabata Segerea, Zanati ya Segerea πŸ“
Nyumba ipo kwenye location nzuri, tambarare, na panafikika bila shida kabisa.

πŸš— Umbali: Takribani dakika 10 kutoka barabara kuu
πŸ›£οΈ Unaweza kupitia Segerea kwa Bibi au Sanene

🏠 Ina:
βœ… Vyumba 4 vya kulala
βœ… Kimoja ni Master Bedroom
βœ… Sebule kubwa
βœ… Dining
βœ… Jiko
βœ… Choo cha public

πŸ“ Ukubwa wa eneo: SQM 500
πŸ’° Bei: Milioni 50 tu
πŸ’΅ Service charge: Tsh 30,000/=

πŸ’‘ Inafaa kwa:
βœ”οΈ Kumalizia na kuishi mwenyewe
βœ”οΈ Kupangisha kama stand-alone house
βœ”οΈ Kuweka apartments kwa ajili ya mapato ya kodi

πŸ”₯ Karibu tajiri, fursa ya uwekezaji usiikose!
πŸ“ž +255688412890 Muhitaji karibu tufanye biashara.

Matangazo yanayofanana Tabata, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 150,000,000

  • Uzio

  • Makabati ya Jiko

  • Karibu na Barabara ya Lami