Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Tegeta Wazo Mivumoni, Dar Es Salaam (1600 sqm)






Wazo, Dar Es Salaam
2 hours ago
Sh. 500,000,000
Huduma na Sifa
Maelezo
Gorofa linauzwa lina vyumba vinne vyote master inasebule mbili juu na chini chini Kuna sitting room, dining, kitchen,stoo ukubwa wa kiwanja sqm 1600 ina hati ya wizara kutoka lami ya mivumoni ni nyumba ya tatu bei million 500 maongezi nyumba ipo Tegeta wazo mivumoni karibuni Sana Kwa mawasiliano tuwasiliane Kwa namba















