Nyumba (Furnished) ya vyumba vitano inauzwa Geza Juu, Block 18, Kigamboni, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Bafu
5
Ukubwa
1200 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Samani
Ndiyo
Maelezo
π‘ O719969102
GHOROFA LA KIFAHARI LINAPATIKANA KIGAMBONI β GEZA JUU (BLOCK 18)
β¨ Nyumba ya ndoto yako ipo hapa! Inafaa kwa makazi + biashara (investment)
π Location: Geza Juu, Block 18 β Kigamboni, Dar es Salaam
π Ukubwa wa eneo: SQM 1200
π Sifa za Nyumba:
β’ Vyumba 5 vya kulala β vyote Master Bedroom ποΈ
β’ Full Furniture (unaingia unaanza kuishi moja kwa moja) πͺ
β’ Sebule kubwa + Dining π½οΈ
β’ Jiko la kisasa π³
β’ Mazingira tulivu na salama πΏ
β’ Inafaa kwa Residential au Commercial use
π Hati: Hati safi ya Wizara
π Umbali:
β’ Km 10 kutoka Ferry & Daraja la Nyerere
β’ Mita 500 tu hadi barabara ya lami
π° BEI: TZS 600,000,000 tu (Milioni 600)
πΌ Opportunity kubwa kwa wawekezaji β unaweza kuifanya Lodge, Office, au Family Luxury Home!
π΅ Service Charge: 30,000 TZS (Site Visit)
π Call/WhatsApp: + O719969102















