Nyumba (Furnished) ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Geza Ulole, Dar Es Salaam (1350 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1350 SQM
Barabara ya Karibu
500m
Samani
Ndiyo
Maelezo
🏡 GOROFA FULL FENITURE LA KISASA INAUZWA – KIGAMBONI, GEZA ULOLE 🌴
Fursa ya kipekee ya kumiliki gorofa ya kifahari katika eneo tulivu na lenye hadhi!
✨ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 5 vya kulala, vyote Master
* Sebule kubwa
* Dining
* Jiko la kisasa
* Full Furniture (Inauzwa pamoja na samani zote)
* Full AC
* Garden nzuri
* Electric Fence
* CCTV Camera
* Mazingira safi na salama
📍 Mahali:
* Mita 500 kutoka barabara kuu ya lami
* Kilomita 10 kutoka Ferry
* Kilomita 9 kutoka Daraja la Nyerere
📐 Ukubwa wa Eneo:
* Square Meter 1,350
* Limepimwa na lina Hati ya Wizara
💰 Bei: TSh Milioni 800 (Mazungumzo kidogo yapo.)
📞 0759554221
📍Service Charge 30,000
#trendingvideo #istagram #realestateagent #tanzania #trendingaudio















