Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kimara, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 50,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Maelezo

NYUMBA TATU PAMOJA/HATI,KIWANJA SQM.1,500,TSHS.400 MILIONI,KIMARA STOP-OVER.

Mtaa tulivu na umbali wa kilomita moja tu kutoka Barabara ya Morogoro.

Nyumba kubwa ina jumla ya vyumba 5,
Sebule mbili,Masta 1.

Kiwanja kina ukubwa wa .1,500.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.

_______________

ANGALIZO;
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________mpg

ara stop over nyumba tatu ndani ya kiwanja kimoja