Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mbezi, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 300,000,000

Aina

Nyumba

Vyumba

5

Maelezo

Nyumba Nzuri Ya Ghorofa Inauzwa
Mahali: Mbezi Luiz Near Magufuli Bus Terminal

Bei: Milioni 300 (Mazungumzo)

☑️Ukubwa: Sqm602
☑️Sifa: Vyumba 5, Vinne Ni Master, Sebule Mbili, Jiko Na Choo
☑️Umiliki: Hati Miliki Imenyooka
☑️Msingi Ni Wa Ghorofa 4, Na Familia Zinaweza Kujitegemea Kwa Kila Floor
☑️Umbali: Km1 Kutoka Magufuli Bus Stand
☑️Pamejengeka Sana Na Huduma Zote Zinapatikana
☑️Inafaa Kwaajili Ya Makazi Au Biashara

Gharama Ya Kuoneshwa Ni 50,000/= (Inalipwa Maramoja Na Itadumu Mpaka Upate)

Whatsapp: 0764486945
Call: 0682699988 / 0622651649

Ofisini: Sinza Palestina (Kwa Babu Sea)

Viwanja Na Office Space Pia Zinapatikana Kwa Size Zote. Karibuni Sana Wateja Wangu🙏

#MasterMijengo #DalaliMasterTz