Tafuta

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Bunju-A, Dar Es Salaam

video thumbnail
Sh. 250,000,000

Aina

Nyumba

House for sale in Bunju

Vyumba

5

5 bedroom House for sale in Bunju

Ukubwa

1400 SQM

Barabara ya Karibu

1.5km — Bagamoyo Road

Huduma na Sifa

Maelezo

GHOROFA YAKUMALIZIA, VYUMBA 5,INAUZA BANK,TSHS.250 MILIINI,BUNJU-A.

Ni nyumbacya kisasa ya Sakafu 2.
Ina vyumba 5 (Kila Chumba na Choo chake)
Pia kuna Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.

Ipo umbali wa kilomita 1.5 kutoka Barabara ya Bagamoyo, UPANDE WA KUSHOTO ukielekea Bagamoyo kutokea Dar.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 1,400.
Umiliki ni HATI ( Title Deed) ya Wizara.

_______________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 19%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_______________emM