Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Gezaulole, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1100 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
GOROFA LA KISASA LINAUZWA ā KIGAMBONI, GEZAULOLE
Unatafuta nyumba ya kisasa yenye hadhi ya juu? Hii hapa fursa yako!
* Vyumba 5 (4 Master Bedrooms)
* Eneo: SQM 1100
* Hati ya Wizara (Title Deed)
* Umbali: Kilomita 1 kutoka barabara kuu
* Bei: TZS Milioni 550 (Mazungumzo yapo)
Sifa za Ziada:
* Muundo wa kisasa na finishing za kuvutia
* Eneo tulivu na salama
* Inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji
š 0769-554-221
#trending #posts #istagram #tanzania #realestateforsale









