Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Gezaulole, Dar Es Salaam (1100 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1100 SQM
Barabara ya Karibu
1km
Huduma na Sifa
Maelezo
GOROFA LA KISASA LINAUZWA ā KIGAMBONI, GEZAULOLE Unatafuta nyumba ya kisasa yenye hadhi ya juu? Hii hapa fursa yako! * Vyumba 5 (4 Master Bedrooms) * Eneo: SQM 1100 * Hati ya Wizara (Title Deed) * Umbali: Kilomita 1 kutoka barabara kuu * Bei: TZS Milioni 550 (Mazungumzo yapo) Sifa za Ziada: * Muundo wa kisasa na finishing za kuvutia * Eneo tulivu na salama * Inafaa kwa makazi ya familia au uwekezaji š 0769-554-221 #trending #posts #istagram #tanzania #realestateforsale






