Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Gereza Loliole, Dar Es Salaam (1900 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
1900 SQM
Barabara ya Karibu
300m
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA – KIGAMBONI GEREZA LOLIOLE
Nyumba nzuri na ya kisasa inauzwa ikiwa katika eneo tulivu na la kifahari kabisa Kigamboni.
✨ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 5 (vyumba 4 ni master)
* Sebule kubwa + dining
* Jiko la kisasa
* Full AC nyumba nzima
* Swimming pool
* Servant quarter: vyumba 2, sebule na jiko
* Kisima cha maji
📐 Ukubwa wa eneo:
* Square meter 1900
📄 Hati:
* Hati halali ya Wizara
📍 Location:
* Kigamboni Gereza Loliole
* Mita 300 tu kutoka baharini
* Karibu na barabara ya lami
💰 Bei:
* Milioni 700 (mazungumzo yapo)
📞0769-554-221
#trendingvideos #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #trendingaudio















