Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Kibada, Dar Es Salaam (800 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
800 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
🏡 GOROFA LA KISASA LINAUZWA – KIGAMBONI KIBADA
Unatafuta nyumba ya kifahari yenye hadhi ya juu? Hii hapa fursa adhimu!
✨ Sifa za Nyumba:
* Vyumba 5 vikubwa
* Sebule ya kisasa
* Dining (eneo la chakula)
* Jiko la kisasa
* Boys Quarters (nyumba ya mfanyakazi)
* Ipo barabara ya lami kabisa 🚗
📐 Ukubwa wa Eneo: SQM 800
📄 Hati: Hati ya Wizara (Title Deed)
💰 Bei: TZS Bilioni 1.1 (1,100,000,000) – Mazungumzo yapo
📍 Location: Kigamboni – Kibada
#trendingvideos #tanzania🇹🇿 #istagram #realestateforsale #trendingaudio















