Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Barabara ya Karibu
400m
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘ NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA β KIGAMBONI KISOTA, DAR ES SALAAM
Fursa ya kipekee ya kumiliki nyumba ya kisasa iliyojengwa kwa viwango vya hali ya juu katika eneo zuri na lenye maendeleo.
π Eneo: Kigamboni Kisota, Dar es Salaam
β¨ Sifa za nyumba:
β
Ghorofa yenye vyumba 5 vya kulala
β
Sebule kubwa na sehemu ya dining
β
Jiko la kisasa
β
Maegesho ya ndani na nje ya nyumba
β
Garden kubwa na nzuri
β
Inagusa barabara kubwa ya mtaa
β
Mita 400 tu kutoka barabara ya lami
β
Kilomita 3 hadi Darajani
β
Kilomita 4 hadi Kivuko cha Ferry
π Ubora wa nyumba:
* Imejengwa kwa viwango vya kisasa na ubora wa hali ya juu.
* Milango na madirisha ya aluminium.
* Sakafu za tiles za kisasa.
* Gypsum ceiling yenye finishing nzuri.
* Mfumo bora wa electrical wiring.
π° Bei: TZS Milioni 650
π€ Mazungumzo yapo.
π Wasiliana nasi leo kupanga kutembelea nyumba hii.
Service Charge: TZS 30,000
Instagram: dalali_kigamboni_plots_forsale
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni DarEsSalaam















