Tafuta

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (1800 sqm)

video thumbnail
$ 1,200,000

Maelezo

NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA MBEZI BEACH ๐Ÿ—บโœจ

Inatafuta mmiliki mpya! Hili ni ghorofa la kisasa na la kipekee lililopo kwenye moja ya maeneo ya hadhi ya juu kabisa Mbezi Beach, jirani kabisa na Ramada Hotel. Nyumba hii inatoa mchanganyiko wa kipekee wa usalama, utulivu, na muonekano mzuri wa bahari.

Sifa za Jengo:

๐Ÿ“ Ukubwa wa Kiwanja: Sqm 1800 (Eneo pana sana)

๐Ÿ“‘ Unyaraka: Inamilikiwa kwa Hati Miliki (Clean Title Deed)

๐Ÿ› Vyumba: Vyumba 5 vya kulala (kati ya hivyo, 4 ni masta)

๐Ÿ›‹ Sebule: Sebule 2 kubwa na za kisasa zenye mwanga mzuri wa asili

๐Ÿ  Boycott (Bycotta): Ipo kwa ajili ya watumishi au wageni

๐ŸŠโ€โ™‚๏ธ Swimming Pool: Bwawa safi na kubwa la kuogelea

๐ŸŒŠ Location: Dakika chache kutoka ufukweni, yenye view nzuri ya bahari

๐Ÿ’ฐ Bei: USD 1,2 (Dola Milioni 1,2)
Kama unatafuta makazi bora yenye viwango vya kimataifa kwa ajili ya familia yako au uwekezaji, hii ndio fursa yenyewe.

๐Ÿ“ž Wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi na kufanya booking ya kuitembelea:

@makaziboratz Au @dalalimbezibeach1tz
0654929655
Au
0785008204 WhatsApp/Call
โ #MbeziBeach #Tanzaniarealestate#NyumbaInauzwa #RealEstateTanzania #LuxuryHomesDar GhorofaLinauzwa DarEsSalaam NyumbaZaKifahari

Matangazo mengine Mbezi, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 1,700,000,000

For Sale6 beds4 baths1,200 sqmhouse
Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (1200 sqm)

Sh. 1,700,000,000

For Sale6 beds4 baths1,200 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 400,000,000

For Sale5 beds5 baths1,000 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 400,000,000

For Sale5 beds5 baths1,000 sqmhouse