Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mbezi Beach, Dar Es Salaam (1800 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA MBEZI BEACH πΊβ¨
Inatafuta mmiliki mpya! Hili ni ghorofa la kisasa na la kipekee lililopo kwenye moja ya maeneo ya hadhi ya juu kabisa Mbezi Beach, jirani kabisa na Ramada Hotel. Nyumba hii inatoa mchanganyiko wa kipekee wa usalama, utulivu, na muonekano mzuri wa bahari.
Sifa za Jengo:
π Ukubwa wa Kiwanja: Sqm 1800 (Eneo pana sana)
π Unyaraka: Inamilikiwa kwa Hati Miliki (Clean Title Deed)
π Vyumba: Vyumba 5 vya kulala (kati ya hivyo, 4 ni masta)
π Sebule: Sebule 2 kubwa na za kisasa zenye mwanga mzuri wa asili
π Boycott (Bycotta): Ipo kwa ajili ya watumishi au wageni
πββοΈ Swimming Pool: Bwawa safi na kubwa la kuogelea
π Location: Dakika chache kutoka ufukweni, yenye view nzuri ya bahari
π° Bei: USD 1,2 (Dola Milioni 1,2)
Kama unatafuta makazi bora yenye viwango vya kimataifa kwa ajili ya familia yako au uwekezaji, hii ndio fursa yenyewe.
π Wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi na kufanya booking ya kuitembelea:
@makaziboratz Au @dalalimbezibeach1tz
0654929655
Au
0785008204 WhatsApp/Call
β #MbeziBeach #Tanzaniarealestate#NyumbaInauzwa #RealEstateTanzania #LuxuryHomesDar GhorofaLinauzwa DarEsSalaam NyumbaZaKifahari















