Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Mbweni Malindi, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Maelezo
π‘ NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA βMBWENI TZπ΄
β¨ Nyumba ya kisasa na ya kifahari iliyopo eneo la Mbweni malindi.
πΉ Vyumba 5 vya kulala, vyote Master Bedroom
πΉ Sebule kubwa na sehemu ya kulia chakula
πΉ Jiko la kisasa lenye nafasi kubwa
πΉ Swimming Pool
πΉ Servant Quarter (SQ)
πΉ Maegesho makubwa ya magari
πΉ Bustani nzuri na mazingira tulivu
πΉ Muonekano wa kisasa wa kiwango cha juu
π° Bei: USD 850,000$
SQM 1000
π Mahali: Mbweni malindi
Ni nyumba inayofaa kwa makazi ya kifahari au uwekezaji wa thamani kubwa.
π Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea nyumba hii ya kipekee.
@makaziboratz Au @dalalimbezibeach1tz
0654929655
Au
0785008204 WhatsApp/Call















