Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (400 sqm)

Aina
Nyumba
Vyumba
5
Ukubwa
400 SQM
Huduma na Sifa
Maelezo
๐ขโจ NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA โ TABATA BONYOKWA DAR ES SALAAM โจ๐ข
๐ฐ BEI: Milioni 320 (Maongezi yapo โ leta offer yako tuzungumze)
๐ Ukubwa wa eneo: SQM 400
๐ Umiliki: Hati Miliki
๐ก SIFA ZA NYUMBA:
โ
Vyumba 5 vya kulala (2 Master)
โ
Sebule + Dining room
โ
Jiko la ndani
โ
Public Toilet
โ
Kisima cha maji
โ
CCTV Camera
โ
Electric wired fence
Nyumba hii ni chaguo bora kwa makazi ya kifahari au uwekezaji wa biashara.
๐ฒ PIGA AU WHATSAPP: +255 688 412 890















