Tafuta

Nyumba ya vyumba vitano inauzwa Tabata Bonyokwa, Dar Es Salaam (400 sqm)

video thumbnail
Sh. 320,000,000

Maelezo

🏒✨ NYUMBA YA GHOROFA INAUZWA – TABATA BONYOKWA DAR ES SALAAM ✨🏒

πŸ’° BEI: Milioni 320 (Maongezi yapo – leta offer yako tuzungumze)
πŸ“ Ukubwa wa eneo: SQM 400
πŸ“œ Umiliki: Hati Miliki

🏑 SIFA ZA NYUMBA:

βœ… Vyumba 5 vya kulala (2 Master)
βœ… Sebule + Dining room
βœ… Jiko la ndani
βœ… Public Toilet
βœ… Kisima cha maji
βœ… CCTV Camera
βœ… Electric wired fence

Nyumba hii ni chaguo bora kwa makazi ya kifahari au uwekezaji wa biashara.

πŸ“² PIGA AU WHATSAPP: +255 688 412 890

Matangazo yanayofanana Tabata, Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Kinyerezi, Dar Es Salaam (400 sqm)

Sh. 150,000,000

  • Uzio

  • Makabati ya Jiko

  • Karibu na Barabara ya Lami