Villa ya vyumba vitano inauzwa Salasala, Dar Es Salaam (1400 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
Ghorofa la kisasa linalouzwa katika moja ya maeneo bora kabisa Salasala. Lina kila kitu unachohitaji kwa ajili ya maisha ya kifahari:
Sifa za Jengo:
π Ukubwa wa Kiwanja: Sqm 1400
π Vyumba: Vyumba 5 vya kulala (vikubwa na vyenye mwanga mzuri)
π‘ Boycott (Bycotta): Ipo kwa ajili ya watumishi au wageni
πββοΈ Swiming Pool: Safi na kubwa kwa ajili ya mapumziko ya familia
π³ Uwanja: Sehemu kubwa ya kupumzikia yenye bustani ya kisasa na miti ya kuvutia
π Parking: Eneo kubwa la kupaki magari na barabara ya lami inayofika mpaka getini
π° Bei: Tsh Bilioni 1 (1B)
Kama unatafuta utulivu, usalama, na hadhi ya juu kwa ajili ya familia yako, hii ndio chaguo sahihi.
π Wasiliana nasi sasa kwa maelezo zaidi na kufanya booking ya kuitembelea:
@makaziboratz Au @dalalimbezibeach1tz
0654929655
Au
0785008204 WhatsApp/Call















