Tafuta

Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Bunju Beach, Dar Es Salaam

Sh. 800,000,000

Maelezo

JUMBA LA KUMALIZIA UJENZI,TZS.800 MILIONI, BUNJU BEACH.

Ni Ghorofa ya SAKAFU 2.
Lina jumla ya vyumba vya kulala 6
(Kila chumba na Choo chake ndani.
Pia ina Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia cha ndani.

Kiwanja kina ukubwa wa SQM.2,042.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara

WAHI NI JUMBA HADHI YA JUU.

__________________

ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)

Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.

+255 714 591 548

_________________zw

Matangazo mengine Bunju, Dar Es Salaam

Kiwanja kinauzwa Bunju B, Dar Es Salaam sqm 1925

Sh. 140,000,000

For Sale1,925 sqmNegotiable
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Bunju Beach, Dar Es Salaam

Sh. 700,000,000

For Sale4 beds400 sqmhasTitleDeed
Kiwanja kinauzwa Bunju B, Dar Es Salaam sqm 1925

Sh. 140,000,000

For Sale1,925 sqmNegotiable
Kiwanja kinauzwa Bunju Beach Moga, Dar Es Salaam sqm 1200

Sh. 220,000,000

For Sale1,200 sqmNegotiable
Kiwanja kinauzwa Bunju B, Dar Es Salaam sqm 1925

Sh. 140,000,000

For Sale1,925 sqmNegotiable
Viwanja vinauzwa Bunju B, Dar Es Salaam

Sh. 78,800,000

For SaleNegotiable
Nyumba inauzwa Bunju A Mkoani, Dar Es Salaam

Sh. 130,000,000

For Sale415 sqmhasTitleDeed