Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kigamboni Kisota, Dar Es Salaam (750 sqm)
Aina
Nyumba
Vyumba
6
Ukubwa
750 SQM
Barabara ya Karibu
400m
Maelezo
π‘π₯ KASRI LA KIFAHARI LINATUPWA β KIGAMBONI KISOTA! π₯π‘
Unatafuta nyumba kubwa ya kifahari yenye nafasi ya kuishi na kufanya biashara? Hii ni fursa ya kipekee! π
π Kigamboni, Kisota β Dar es Salaam
π£οΈ Mwendo wa takribani mita 400 tu mpaka barabara ya zamani
π Zina:
ποΈ Vyumba 6 vya kulala
π Master 5 β vikubwa sana
ποΈ Sebule kubwa
π½οΈ Dining
π³ Jiko
π Servant Quarter
π Parking kubwa
π§± Paving
β‘ Electric fence
π Eneo SQM 750
π Limepimwa na lina Hati ya Wizara
πΌ Linafaa kwa makazi, uwekezaji au biashara.
π° BEI: MILIONI 450 TU!
π€ Mazungumzo yapo.
π 0746407197
πΈ Instagram: @dalali_kigamboni_plots_forsale
π΅ Service charge: TZS 30,000
#creatorsearchinsights #dalalikigamboni #dalalidaressalaam #dalalinyumbaviwanja #realestateapartment Kigamboni Kisota NyumbaInauzwa RealEstateTanzania















