Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Kisota, Dar Es Salaam
Kisota, Dar es Salaam
22 days ago
Sh. 400,000,000
Maelezo
GHOROFA YA VYUMBA VITATU (6) TZS.400 MILIONI,KISOTA,KIGAMBONI.
Kiwanja kina ukubwa wa SQM. 400.
Umiliki ni HATI (Title Deed) ya Wizara.
Ni nyumba ya Sakafu mbili.
Yenye UNITS mbili.
Chini vyumba 3 ( Masta 1)
Sebule, Jiko, Dining-room,
Store na Choo cha Familia ndani.
Na juu ipo hivyohivyo.
Si mbali na FERI au Darajani.
WAHI.
______________
ANGALIZO:
Malipo ya Dalali ni 10%
Kuona ni Tshs.50,000.
(Unalipa wewe MNUNUZI)
Tafadhali wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratatibu zangu.
_____________mpg















