Nyumba ya vyumba 6 inauzwa Sinza (Kwa Remmy), Dar Es Salaam

Huduma na Sifa
Maelezo
🔥 HAINA UDALALI – UNAKUTANA MOJA KWA MOJA NA MUUZAJI! 🔥<br/><br/>🏡 NYUMBA KUBWA YA VYUMBA 6 INAUZWA – SINZA (KWA REMMY), DAR ES SALAAM<br/><br/>Unatafuta nyumba ya kifahari katikati ya jiji? Hii ni fursa adimu sana kupata nyumba kubwa kwenye eneo la prime location Sinza – inafaa kwa kuishi au kuingiza kipato kupitia upangishaji!<br/><br/>✨ SIFA ZA NYUMBA:<br/>✔️ Vyumba 6 vya kulala (Master 1 kubwa)<br/>✔️ Sebule kubwa + Dining<br/>✔️ Jiko la kisasa<br/>✔️ Servant Quarter (SQ)<br/>✔️ Parking ya kutosha<br/>✔️ Madirisha ya Aluminium<br/>✔️ Eneo limepaving vizuri<br/>✔️ Maji ya DAWASA yapo<br/>✔️ Hati safi kabisa<br/><br/>📍 LOCATION:<br/>• Hatua 30 tu kutoka barabara ya lami<br/>• Dakika 20 tu kufika mjini<br/>• Eneo tulivu, salama na la kisasa<br/><br/>💼 INAFAA KWA:<br/>✔️ Makazi ya familia kubwa<br/>✔️ Uwekezaji (Guest house / Kupangisha vyumba)<br/><br/>💰 BEI: MILIONI 400 TU (MAONGEZI YAPO)<br/><br/>📞 Usisite! Njoo uone – ukichelewa utajuta!<br/><br/>⚠️ WATEJA SERIOUS TU 0683 665504















