Tafuta

Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Dar Es Salaam (2500 sqm)

Dar Es Salaam
4 hours ago
Sh. 1,800,000,000

Maelezo

NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA — INAFAA KWA FAMILIA YAKO!

Unatafuta nyumba kubwa, ya kisasa na yenye nafasi ya kutosha kwa familia yako? Hii ni fursa ya kipekee!
Kiwanja: SQM 2,500
Nyumba Kuu: Vyumba 5 — vyote Master Bedroom
Sebule kubwa
Dining kubwa
Jiko kubwa na lenye nafasi ya kutosha
Nyumba ya Pembeni:
Vyumba 3
JUMLA: VYUMBA 8

Swimming Pool
Uwanja wa Basketball
Eneo kubwa na mazingira yanayofaa kwa familia na mapumziko.

BEI: TSH BILIONI 1.8
Nyumba hii ni zaidi ya makazi — ni lifestyle ya kifahari kwa familia yako.
Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, wasiliana nasi.

SITE VISIT 50,000
Contact
O677370515 whatsapp
O688991244 normal call

Matangazo mengine Dar Es Salaam

Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Goba Center, Dar Es Salaam (2500 sqm)

Sh. 1,800,000,000

For Sale8 beds2,500 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vitatu inauzwa Salasala, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Sh. 750,000,000

For Sale3 beds3 baths1,000 sqmhouse
Nyumba ya vyumba vinne inauzwa Kimara Bonyokwa, Dar Es Salaam (600 sqm)

Sh. 145,000,000

For Sale4 beds3 baths600 sqmhouse