Nyumba ya vyumba 8 inauzwa Goba, Dar Es Salaam
Huduma na Sifa
Maelezo
π‘β¨ NYUMBA YA KIFAHARI INAUZWA β INAFAA KWA FAMILIA YAKO! β¨π‘
Unatafuta nyumba kubwa, ya kisasa na yenye nafasi ya kutosha kwa familia yako? Hii ni fursa ya kipekee! π₯
π Kiwanja: SQM 2,500
π Nyumba Kuu: Vyumba 5 β vyote Master Bedroom ποΈβ¨
ποΈ Sebule kubwa
π½οΈ Dining kubwa
π³ Jiko kubwa na lenye nafasi ya kutosha
π Nyumba ya Pembeni:
ποΈ Vyumba 3
π₯ JUMLA: VYUMBA 8
Na bado kuna zaidi! π
πββοΈ Swimming Pool
π Uwanja wa Basketball
π³ Eneo kubwa na mazingira yanayofaa kwa familia na mapumziko.
π° BEI: TSH BILIONI 1.8
β¨ Nyumba hii ni zaidi ya makazi β ni lifestyle ya kifahari kwa familia yako.
π Kwa maelezo zaidi na kuiona nyumba, wasiliana nasi.
SITE VISIT 50,000
Contact
O766057880 πΉπΏ
Whatsapp 0782 724 115 πΉπΏ















