Apartment inauzwa Kigamboni Kisiwani, Dar Es Salaam

Aina
Apartment
Barabara ya Karibu
200m
Huduma na Sifa
Maelezo
โโ
๐ข APARTMENTS ZINAUZWA KIGAMBONI KISIWANI โ DAR ES SALAAM ๐ข
Fursa nzuri sana ya uwekezaji wa uhakika! Apartments hizi zipo eneo zuri la Kigamboni Kisiwani, mazingira mazuri na yanayofikika muda wote.
โจ MAELEZO YA NYUMBA:
๐ Apartments 4 jumla
โ
Nyumba kubwa 2
โ
Nyumba ndogo 2
๐ฐ MAPATO YA KODI:
๐ก Nyumba kubwa zinapangishwa Tsh Milioni 1 kila moja
๐๏ธ Nyumba ndogo zinapangishwa Tsh 250,000 kila moja
๐ Tayari nyumba 3 zina wapangaji
๐ฅ Uwekezaji wa kuingiza kipato haraka sana
๐ LOCATION:
๐ฃ๏ธ Mita 200 tu mpaka barabara ya lami
๐ Kilomita 2 mpaka Darajani
โด๏ธ Kilomita 4 mpaka Ferry
๐ก Apartments zipo kwenye eneo zuri sana na zinafaa kwa uwekezaji wa muda mrefu.
๐ต BEI: Tsh Milioni 420
๐ค Mazungumzo yapo
๐ต Service Charge: 50,000/= kwa site visit
๐ Call/WhatsApp: +0755 454 251/0688 262 000 /call me 0755 454 251 0688 262 000 0715 423 267 ๐น๐ฟ
#dalalimrboss#dalalidar #dalalinyumbaviwanja realestateapartment dalalidaressalaamtz apartments kigamboni uwekezaji nyumbainauzwa














