Apartment ya chumba kimoja inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga, Dar Es Salaam

Aina
Apartment
Vyumba
1
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maelezo
Chumba master, sebule na jiko inapangishwa bei 300000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, umeme na maji unajitegemea, parking, peving block, reserve water tank, hii apartment ipo maeneo ya tabata kinyerezi kibaga dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii















