Apartment ya chumba kimoja inauzwa Mbezi Uisho Makabe, Dar Es Salaam (500 sqm)
Huduma na Sifa
Maelezo
*APARTMENTS 3 Ndani ya fensi zinauzwa Milioni 48 maongezi kidogo yapo📍Zipo MBEZI MWISHO MAKABE I* Dar es salaam - Tanzania
MAWASILIANO:
â—‡Apartment ni chumba Master wapangaji wanalipa kodi Elf 80 kwa kila apartment 1
â—‡Makusanyo ya kodi kwa mwezi kwa Apartment zote (3) ni laki (240,000) Kwa mwaka mzima ni milioni (2880,000) Kwa apartment zote 3
â—‡Plot size Sqmt 500
â—‡Document Sales agreement (Hati ya mauziano ya selikali za mitaa kiwanja kimepimwa Hati miliki itatoka kwa Jina la mteja atakae nunua)
*Bei shilingi milioni 48 maongezi kidogo yapo*















