Apartment ya vyumba vinne inauzwa Kisota Ushuani, Dar Es Salaam (1000 sqm)

Kisota, Kigamboni, Dar es Salaam
3 hours ago
Sh. 380,000,000
Aina
Apartment
Vyumba
4
Ukubwa
1000 SQM
Huduma na Sifa
Hati
Karibu na Barabara ya Lami
Maelezo
🏢 APARTMENT ZA KISASA ZINAUZWA – KIGAMBONI KISOTA USHUANI
Zinauzwa apartment mbili za kisasa, zenye muundo mzuri na ziko katika eneo tulivu na lenye maendeleo.
🔹 Sifa za nyumba:
* Vyumba 4 vya kulala
* Sebule kubwa
* Dining (eneo la kulia chakula)
* Jiko la kisasa
🔹 Eneo:
* Ukubwa wa eneo: SQM 1000
* Zipo Kisota Ushuani, Kigamboni
* Zimegusa barabara mpya ya lami
🔹 Nyaraka:
* Hati halali
💰 Bei: Tsh Milioni 380
🤝 Maongezi yapo
📞0769-554-221
#trendingvideos #istagram #tanzania🇹🇿 #realestateforsale #trendingnow
