Tafuta

Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Kigamboni, Fani City, Dar Es Salaam (800 sqm)

video thumbnail
Sh. 165,000,000

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Paving Blocks
Karibu na Barabara ya Lami
Kisima
Jiko

Maelezo

🏢 APARTMENTI ZA BIASHARA ZINAUZWA – KIGAMBONI, FANI CITY 🏢

Fursa adimu ya kuwekeza kwenye biashara ya nyumba za kupanga! Apartmenti hizi tayari zimekamilika na ziko tayari kuanza kukuletea mapato mara moja.

✨ Muundo wa Apartmenti:
✅ Jumla ya apartmenti 4
✅ Apartmenti 3 zenye vyumba 2, sebule na jiko
✅ Apartmenti 1 yenye vyumba 3 (kimoja Master), sebule na jiko

🏡 Sifa za Kiwanja na Miundombinu:
✔️ Eneo takribani SQM 800
✔️ Full paving
✔️ Kisima cha maji
✔️ Umeme na wiring zimekamilika
✔️ Milango, madirisha na vioo vyote vimefungwa
✔️ Tayari kwa kuingiza wapangaji – hakuna gharama za ukarabati

📍 Mahali: Fani City, Kigamboni
• Kilomita 1 kutoka barabara ya lami
• Kilomita 12 kutoka Feri
• Kilomita 11 kutoka Daraja la Nyerere

📄 Umiliki: Hati ya Serikali ya Mtaa.

💰 Bei: TZS Milioni 165
Mazungumzo yapo kwa mnunuzi mwenye nia ya dhati.

📞 0769554221
📍Service Charge 30,000

#trendingvideo #istagram #realestatemarket #realestateagent #tanzania nia

Matangazo mengine Kigamboni, Dar Es Salaam

Apartments zinauzwa Kigamboni Kibada Mwera, Dar Es Salaam (500 sqm)

Sh. 150,000,000

For Sale5 beds500 sqmapartment