Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Tabata Barakuda, Chang'ombe, Dar Es Salaam (500 sqm)

Huduma na Sifa
Maelezo
🏢 APARTMENTS ZINAUZWA – TABATA BARAKUDA, CHANG’OMBE
📍 Dakika 5 kutoka standi ya Chang’ombe
🏠 Apartments 2 ndani ya compound ya SQM 500
• Nyumba 1: vyumba 2 (1 master), sebule, jiko, public toilet
• Nyumba 2: chumba, sebule, jiko
💰 Zote kwa sasa zinapangishwa TZS 300,000 kila moja
✨ Ukiweka finishing nzuri, AC, mafeni na aluminium windows unaweza kuongeza kodi hadi 500,000 na 400,000
🚘 Gari linafika.
🔥 Inafaa kwa makazi au uwekezaji wa biashara
💵 Bei: Milioni 50, maongezi yapo
📞 Calls/whatsapp 0768682919 au 0653233641
Karibu ndugu mteja tufanye biashara 🏡
Service charge 50000















