Apartment ya vyumba vitatu inauzwa Upanga, Dar Es Salaam

Maelezo
ποΈ APARTMENT YA KIFAHARI INAUZWA β UPANGA, DAR ES SALAAM
Miliki apartment mpya ya kisasa katika eneo la kifahari la Upanga, katikati ya jiji la Dar es Salaam.
β¨ Muundo wa Apartment
β
Vyumba 3 vya kulala (2 Master Bedroom)
β
Sebule kubwa yenye balcony
β
Dining
β
Jiko la kisasa lenye makabati ya kisasa
β
Store
β
Choo cha wageni
β
Vyumba vyote vina balcony
π Amenities
βοΈ Standby Generator
βοΈ Maji ya uhakika 24/7
βοΈ CCTV Security
βοΈ Parking ya kutosha
βοΈ Ulinzi wa kampuni masaa 24
π Location: Upanga β City Centre
Ni chaguo bora kwa makazi au uwekezaji. Eneo ni tulivu, salama, na linafikika kwa urahisi kutoka Posta, CBD, Kariakoo na maeneo mengine ya katikati ya jiji.
π° Bei: TSh 550,000,000
π³ Mpango Rahisi wa Malipo
Lipa down payment, kisha malizia salio kwa installments ndani ya miaka 2, huku ukiwa tayari umehamia kwenye apartment yako.
πΌ Fursa ya Uwekezaji
Apartment kama hii inaweza kupangishwa kuanzia TSh 5,000,000/= kwa mwezi, hivyo ni uwekezaji wenye faida ya muda mrefu.
π Wasiliana: +255 688 412 890
ποΈ Service Charge (Viewing Fee): TSh 30,000/=
Dalali wako Wakishua
Miliki Kesho Yako Leo!!!















