Apartment ya vyumba viwili inapangishwa tabata kinyerezi kibaga, Dar Es Salaam


Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
5 hours ago
Sh. 700,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
2
Huduma na Sifa
Parking Space
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Tanki la Maji
Uzio
Kitchen Cabinets
Maelezo
Hii apartment nzuri sana na usalama wa kutosha inapangishwa bei 700000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo self contained, sebule, jiko lenye makabati, public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking bubwa, reserve water tank, hapa ndani ya fence kuna apartment 2 tu, Location tabata kinyerezi kibaga dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii
