Apartment ya vyumba viwili inapangishwa tabata kinyerezi kibaga, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 700,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Huduma na Sifa

Parking Space
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Tanki la Maji
Uzio
Kitchen Cabinets

Maelezo

Hii apartment nzuri sana na usalama wa kutosha inapangishwa bei 700000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo self contained, sebule, jiko lenye makabati, public toilet, umeme na maji unajitegemea, parking bubwa, reserve water tank, hapa ndani ya fence kuna apartment 2 tu, Location tabata kinyerezi kibaga dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii