Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Kinyerezi Kibaga Zabika, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
Sh. 350,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Maji
Parking Space
Umeme
Luku Inajitegemea
Mita ya Maji Inajitegemea
Paving Blocks

Maelezo

Apartment nzuri sana inapangishwa bei 350000;kwa mwezi kodi kianzia miezi 6. Ina nyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom. Sebule. Jiko na public toilet. Umeme na maji unajitegemea. Parking bubwa. Reserve water tank. Peving block. Pia hapa kuna apartment 3 tu ndani ya fence. Nyumba inatazama barabara ya lami. Location tabata kinyerezi kibaga zabika dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii