Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Segerea Viwanja Vya Back, Dar Es Salaam







Tabata, Ilala, Dar Es Salaam
15 hours ago
Sh. 400,000 per month
Aina
Apartment
Vyumba
2
Awali
Inaruhusiwa
Huduma na Sifa
Maji
Umeme
Mita ya Maji Inajitegemea
Kisima
Dawasa Water
Kisima
Maelezo
Apartment nzuri sana inapangishwa bei 400000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko lenye makabati, public toilet, umeme na maji unajitegemea, pia hapa kuna maji dawasa na kisima, hapa kuna apartment 2 tu ndani ya fence, Located tabata segerea viwanja vya back dar es salaam
Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641
Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii
