Tafuta
-
-

Apartment ya vyumba viwili inapangishwa Tabata Segerea Viwanja Vya Back, Dar Es Salaam

 media -1
media -1
media -2
media -3
media -4
media -5
media -6
Sh. 400,000 per month

Aina

Apartment

Vyumba

2

Awali

Inaruhusiwa

Huduma na Sifa

Maji
Umeme
Mita ya Maji Inajitegemea
Kisima
Dawasa Water
Kisima

Maelezo

Apartment nzuri sana inapangishwa bei 400000 kwa mwezi kodi kianzia miezi 6, ina vyumba 2 vya kulala chumba kimojawapo master bedroom, sebule, jiko lenye makabati, public toilet, umeme na maji unajitegemea, pia hapa kuna maji dawasa na kisima, hapa kuna apartment 2 tu ndani ya fence, Located tabata segerea viwanja vya back dar es salaam

Calls/Whatsapp 0768682919 au 0653233641

Service survey charge tsh 20000
Au malipo ya dalali endapo ulipapo apartment hii